Labda MUUZA SURA ana sura NZURI,.... ..... ukikumbuka....
.....hata UBAYA wa SURA MBAYA ujichoni mwa aliyejifunza TU nini SURA MBAYA.:-(
Labda MUUZA SURA kweli ana sura NZURI,... .....ukikumbuka.....
.....hata UZURI wa SURA NZURI haupo NG'O jichoni mwa ASIYEHUSUDU, ingawa jichoni mwa apendaye, MZURI hana UBAYA.
Labda MUUZA SURA anajiamini tu kuwa ana SURA NZURI,... ...ukikumbuka tu.....
....ukijiamini hata jicho lako litakuhakikishia pua lako kubwa wala si BAYA.
Labda MUUZA SURA kiuno kama N'GE chini kidogo ya sura bado MZURI,... ....ukikumbuka....
... labda kwa wamjuaye UNDANI kwa NDANI hata tamutamu yake ya ndani ina SURA MBAYA.
Na labda MUUZA SURA kwa ndani bado MZURI,... .... kama UNAKUMBUKA....
... karibu mara zote UBAYA WA MTU utaupata TU kama YAKO NIA katika mtu NI kuutafuta UBAYA.
Swali:
AU?
Hivi unakumbuka siku hizi TANZANIA na labda AFRIKA kwa ujumla , wenye MATAKO MAKUBWA na BOMBA LA SURA huwa hawashindi hata U-MISS Kariakoo a.k.a MASHINDANO ya UUZA SURA kwa kuwa eti maendeleo yametugundulisha kuwa MISS U.S.A kwa kawaida hana TAKO?
Halafu si unakumbuka MUUZA SURA anaweza bado akawa ni KINUKA MKOJO kama hatumii vizuri maliwato?
NI hilo tu KISURA/ HENDISAMU au tu WEYE uaminiye una BOMBA la SURA MBAYA, ila kumbuka ni WAZO tu Banangenge!:-(
NIMEACHA na nakutakiaijuMAA NJemanaWIKienDI Kibonge!
Hebu HOT CHOCOLATE watukumbushe kitu - Sexy thing
Au tu SAMBA MAPANGALA kwa mara nyingine atukumbushe uzuri wa- Kabibi
Utamu ULEULE kujirudia ni BAHATI NASIBU,.. ... ingawa kwa kuwa MLENDA ushauonja mara ya kwanza wadhani wajua wake UTAMU.
Kama mara ya kwanza ilinoga na ukamsimulia NASIBU,.. .... haimaanishi katika SIMULIZI ZAKO za pili na ZA kumi za UTAMU kwa NASIBU huwa unaongelea uleule UTAMU.
Na haujirudii UTAMU wanasaikolojia WATAJIBU,... .... kwa kuwa kisaikolojia au hata kihamu onjo la pili na la tisa hata la PEPSI huwa linatofautiana UTAMU.
Na kama mara ya kwanza ni chungu ILIKUSIBU,.... ...kumbuka YA KWANZA CHUNGU inaweza ikawa SI CHUNGU ukirudia na KUPATIA jinsi ya kuonja UTAMU.
Swali:
AU?
Si unajua inadaiwa walioonja na kudondosha BIKIRA na walionja BIA na kudai chungu inasemekana baadaye chungu iligeuka TAMU?
Ni hilo tu na NI WAZO tu usitishike KATIBU WA MASWALA!
Ngojea Rose ROYCE walalamike katika-Love don't live here anymore
Na ni kweli hata DOGODOGO saizi YAKO,... .... mpe muda ATAZEEKA.
Lakini angalia SURA LAKO na sikilizia kiuno chako kihimilivyo shughuli ZAKO,... ....wakati umestukia DOGODOGO si SAIZI yako kwa kuwa huvutiwi na Wazee na DOGODOGO kwako KAZEEKA.
Kumbuka! Wakati DOGODOGO mambo zake DUKINAA katika VIONJO vyako,... ...kuna MZEE awezaye MAMBO ADIMU yenye makali ya ASALI na ukileta ANAKATIKA.
Na kama ni KIGOLI kwa haraka AZEEKA kama nyanya kwenye kachumbari ,... .... jiulize ni kwanini KIJEBA hufa kwanza kabla ya KIGOLI aleZEEKA.
Ni swala tu la MUDA hata WAKO,... ... aringaye kama tu ASIYERINGA wote WAZEEKA.
Ni swala la MUDA tu hata WAKO.... ... umjuaye kwa UTOTO bila kujali UKE wala wake UUME, ataZEEKA.:-(
Dakika azaliwayo MTU,.... ......NA sekunde afayo Mtu kwa huyo mtu HAVIKUMBUKWI.
Akuapo mtu kwa udadisi kuna kitu ANAWEZA kukumbushwa,.... .......INGAWA kwa uzoefu wa KIBINADAMU kabla ya kwikwi hua KWIKWI haikumbukwi.
Ndio!
Binadamu uwakutao wanacheka ,.... ...... hufanikisha KICHEKO kwakuwa ukali wa maumivu ya kilio HAUKUMBUKWI.
Ndio!
Binadamu msahaulifu HUFIKIRI ,.... ......... ni sekunde za makubwa kama KUFA ndio hayajulikani wakati mambo elfu lelaulela hayakumbukwi walakujulikana kama tu KWIKWI?
Ndio!
Dakika azaliwayo MTU,.... ......na sekunde afayo Mtu LABDA kwa huyo mtu HAVIKUMBUKWI.
Swali:
AU?
Unauhakika dakika afayo mtu huwa anajua ndio sekunde HIYO anakufa?
Unauhakika aliyefariki anajua kuwa kafa?
DUH!
Ngojea ni muachie marehemu Franco aje na kundi lake katika- MARIO...
Katika PICHA HII, hiki ni kifanananisho KATIKA maswala ya KIELELEZO kama HUJUI kidude!:-({Samahani kwa mambo ya faragha kama BINGWA umefanananisha!:-(]
Ngojea tufafanuliwe kwa UNG'ENG'E kiduchuu,...
......katika maswala HAYA ya kuwa KUMA ni VAGINA kwa kiluguru...au tupate maelezo tu KUWA hata WADUDU wana KIDUDE....
The vagina (from Latin, literally "sheath" or "scabbard") is a fibromuscular tubular tract leading from the uterus to the exterior of the body in female placental mammals and marsupials, or to the cloaca in female birds, monotremes, and some reptiles. Female insects and other invertebrates also have a vagina, which is the terminal part of the oviduct. The Latinate plural (rarely used in English) isvaginae.
In common speech, the term "vagina" is oft..en used to refer to the vulva or female genitals generally; strictly speaking, the vagina is a specific internal structure and the vulva is the exterior genitalia only.
Na.. ....KWA aibu ngojea tufafanuliwe zaidi kuhusu HIKI KIFAA kifanyacho zaidi ya kukojoahapa
NA ,... ...nisikufiche HIKI KIFAA matumizi yake yanapendwa sana na wanawake kama tu PIA wanaume INGAWA kwa wanaume MALIMBUKENI ni kawaida kukosea jinsi ya kutumia HIKI KIFAA katika kukuna MATUMIZI.:-( Swali:
AU?
Unafikiri Ustadhi au Mlokole kama tu MHESHIMIWA anakumbuka kuwa KUMA ni JINA TU la ENEO kama tu KINYEO ambalo labda kuna walitumialo JINA kama tu la MDOMO kwa kumaanisha wanakula NYANYA mshumaa?
NAACHIA MAHUBIRI HAPA! Na ni kweli naacha KUWAZA na UKIZIDISHA WAZO SHAURI ZAKO wazo likigeuka MATUSI!:-(
Samahani hii ni PICHA YA KIELELEZO cha GOVI na LABDA hiki ni KIELELEZO chenye baadhi ya DONDOO za matumizi ya KIFAA ya zaidi yaKUKOJOA![Samahani kwa stori za MWANASESERE za faragha INGAWA unaweza kunitukania ukichukia lakini]:-(
Ndio!
Kwa lugha ya kitakatifu KIKOJOLEO CHA KIUME huwa KWA wajanja kinaitwa Penis!
DUH!
Hebu tupate ushee kwa ung'eng'e kiduchu...
Mboo a.ka. The penisNI:.....
.....(plural penises, penes) is an external sexual organ of certain biologically male organisms, in both vertebrates and invertebrates.
The penis is a reproductive organ, technically an intromittent organ, and for placental mammals, additionally serves as the external organ of urination. The penis is generally found on mammals and reptiles.
Swali:
Unadhani USTADHI au MLOKOLE kama tu MHESHIMIWA hawawezi kudhani kutaja KIKOJOLEO ni TUSI kwa kuwa kinaitwa MBOO na KUNA wadaio HIKI KIFAA ni sehemu za siri ingawa si siri KIFAA HIKI kisaidiavyo umati KUJAZA watoto wa MTAANI kabla au baada ya kusambaza tayari VIRUSI mtaani?
Na KUMBUKA nimeacha wazo BITOZI na ukizidisha wazo linaweza geuka TUSI SHAURI ZAKO !:-(
DUH endelea HAPA kama unataka kujua zaidi kuhusuKIRUNGU kama KIJULIKANAVYO kwa lugha ya kitaalamu wa nanihii:-(...
Swali:
Hivi unajua UTAFITI UNASEMA ni wanaume AMBAO hawajui vizuri kukitumia HIKI KIFAA katika kujipatia AU kumpatia nonihino FARAJA ?
Lakini siye wastaarabu ngojea tuTabu LEY atuongeleshe KUHUSU
Tukiachana na swala la KUKU MJAMZITO.... ....... baada ya KUKU kufanya TENDO LA NDOA kama BATA,.....
.....tuongelee binadamu kiduchu basi!
Kwa BINADAMU kuna TAMADUNI, MILA na DESTURI zifanyazo tuamini KUWA NI ukweli kuwa swala la UJAUZITO ni la wakubwa,.... ..... ndio maana binadamu akiwa mtoto hudanganyika kuwa watoto wananunuliwa duka fulani au kuna ndege anawaleta hata kama anayemsimulia BINADAMU MTOTO HUYO , ana MIMBA.:-(
Na ,... .....kwa kuwa jamii inadai kuwa MASWALA YA UJAUZITO ni maswala ya faragha kuna ambao wamepata mimba kwa kutojua MASWALA YA mpigwa chini huvimba JUU.
NDIO!
Tamaduni zetu wengi zinatufanya tuepuke kuzungumzia mambo fulani:-(
Na ujuzi wa asilimia kubwa ya vijana siku hizi ,.... ......ni wakujifunza wenyewe KUPEKECHA ingawa kuna washangaao kwanini RIJALI kila siku akiingia mtandaoni akilini akiona KIBONYEZO''search ''hakawii kuandika mbele yake neno ''SEX''.
Ndio!
Asilimia kubwa ya WABONGO niwajuao wamejifunza maswala ya KITENDO CHA KUUJAZA ULIMWENGU wenyewe kwa kuwa ndugu na hausigeli hawakuviongelea kwa kuwa MILA na DESTURI ZIMEWAFUNGA mdomo hata WAZAZI.:-(
Na tatizo kubwa katika hili ni kwamba,.... ..... kama huna MUONGOZO itabidi ujishughulishe mwenyewe KUPATIA na kwa bahati mbaya kwa kujifunza bila MUONGOZO waweza kujikuta USHAZOEA KUKOSEA matumizi ya NYETI.
Kumbuka,... ... apataye MIMBA wakati anapata MIMBA kunauwezekano MKUBWA alikuwa anafikiri anapata URODA tu a.k.a MIKASI na sio alikuwa ANAMIMBISHWA.:-(
Kumbuka,... ..... mara nyingi BEBERU LIKIPANDA huwa halifikirii matokeo yake ni kumpa mimba KIMWANA mbuzi.
Na kumbuka ,.... .... mwenye mimba anapendeza kwa kuwa unajua ana mimba LASIVYO ni kweli mwenye mimba huwa ana tumbo KUBWA a.k.a BOMBA LA TUMBO na HUWA anabadilika MWENDO.
Kwa hiyo,... ..... jihadhari kumuuliza MWENYE TUMBO KUBWA asiye na MIMBA maswala ya UJAUZITO kama hutaki kufyonzwa KABLA hujashushiwa bomba la TUSI lenye uzito wa KILO KADHAA lifuatwalo na bomba la KOFI .Na kama wewe mfupi JIHADHARI kwa kuwa labda pia utapewa bomba la konzi lenye KILO TATU na NUSU hivi kwa kukosea wa KUMDADISI.
Na ni kweli,.... ..... ukikutana na mwanaume akukumbushaye MWANAMKE mjamzito, basi inasemekana huyo ANAKITAMBI kitu ambacho SI AFYA kama tu toto dogo lenye tumbo kama mimba linaweza kuwa lina KWASHAKOO , UTAPIAMLO ,nk.....
........ kitu ambacho SI AFYA!:-(
Na ni kweli,... ..... MIMBA ni KIBOKO ndio maana UMEZALIWA.:-(
Swali:
AU?
DUH!
NALIKATIZA wazo hili kabla ya KUONGELEA kuhusu MIMBA ya kuku bila KUOMBA ruhusa ya KUKU!
Swali:
Hivi kweli umesoma mpaka sentensi hii hapa katika SWALA HILI lenye uwezo wa kuwa ni la KIJINGA ?
Unafikiri lini katika ukuaji wako ulistukia MIMBA sio KITAMBI na KITAMBI sio MIMBA?
Unafikiri kungekuwa na uwezekano binadamu wasingehusudu KUTAGA kama kunguru ili kukwepa kuvaa MATENITE DRESI ingawa kasheshe lingekuwa ni zamu za hausigeli kuyatamia mayayi wakati bingwa YUKO kwenye KICHENI PATI?
Kumbuka ni wazo tu NA NIMELIKATIZA nikiwa nakutakia KILA la KHERI katika LAKO LIBENEKE!
Ngojea Kenny Roggers abadili hali ya hewa kwa kitu- You are so Beautiful