Friday, July 10, 2009

CHINI kidogo ya SURA ya MUUZA SURA!

Labda MUUZA SURA ana sura NZURI,....
..... ukikumbuka....

.....hata UBAYA wa SURA MBAYA ujichoni mwa aliyejifunza TU nini SURA MBAYA.:-(


Labda MUUZA SURA kweli ana sura NZURI,...
.....ukikumbuka.....
.....hata UZURI wa SURA NZURI haupo NG'O jichoni mwa ASIYEHUSUDU, ingawa jichoni mwa apendaye, MZURI hana UBAYA.

Labda MUUZA SURA anajiamini tu kuwa ana SURA NZURI,...
...ukikumbuka tu.....
....ukijiamini hata jicho lako litakuhakikishia pua lako kubwa wala si BAYA.

Labda MUUZA SURA kiuno kama N'GE chini kidogo ya sura bado MZURI,...
....ukikumbuka....
... labda kwa wamjuaye UNDANI kwa NDANI hata tamutamu yake ya ndani ina SURA MBAYA.


Na labda MUUZA SURA kwa ndani bado MZURI,...
.... kama UNAKUMBUKA....
... karibu mara zote UBAYA WA MTU utaupata TU kama YAKO NIA katika mtu NI kuutafuta UBAYA.



Swali:

  • AU?
  • Hivi unakumbuka siku hizi TANZANIA na labda AFRIKA kwa ujumla , wenye MATAKO MAKUBWA na BOMBA LA SURA huwa hawashindi hata U-MISS Kariakoo a.k.a MASHINDANO ya UUZA SURA kwa kuwa eti maendeleo yametugundulisha kuwa MISS U.S.A kwa kawaida hana TAKO?
  • Halafu si unakumbuka MUUZA SURA anaweza bado akawa ni KINUKA MKOJO kama hatumii vizuri maliwato?



NI hilo tu KISURA/ HENDISAMU au tu WEYE uaminiye una BOMBA la SURA MBAYA, ila kumbuka ni WAZO tu Banangenge!:-(


NIMEACHA na nakutakia ijuMAA NJema na WIKienDI Kibonge!

Hebu HOT CHOCOLATE watukumbushe kitu - Sexy thing


Au tu SAMBA MAPANGALA kwa mara nyingine atukumbushe uzuri wa- Kabibi

Thursday, July 09, 2009

LEO mie MTAKATIFU Simon Kitururu NAKIRI kuwa na HAMU kweli ya UTANDU na UKOKO kwa MBAAAAALI!:-(


Sijui nipandishe MZUKA wa UTANDU na UKOKO ?

Na hamu kweli ya UTANDU na UKOKO kwa mbaali halafu nilipo MAMA NTILIE HAKUNA!:-(

DUH!

Na hapa siongelei ukoko wa UGALI , MAHARAGE ya NAZI ya JANA au tu MAKANDE a.k.a PURE/ KIBULU.

Wapenzi wa hiki kitu nadhani MNAJUA na mnanielewa naongelea nini!:-)

DUH!:-(



NI HILO TU!


Ngojea nijisahaulishe kwa kufikiria -BATA kama wasimuliavyo -HABIB na RICHIE


Au tu SAMBA MAPANGALA aendelee kunitamanisha -NYAMA CHOMA

Hamu ya KUNOGEWA TENA kama mara ya kwanza ilikuwa TAMU!

Utamu ULEULE kujirudia ni BAHATI NASIBU,..
... ingawa kwa kuwa MLENDA ushauonja mara ya kwanza wadhani wajua wake UTAMU.

Kama mara ya kwanza ilinoga na ukamsimulia NASIBU,..
.... haimaanishi katika SIMULIZI ZAKO za pili na ZA kumi za UTAMU kwa NASIBU huwa unaongelea uleule UTAMU.

Na haujirudii UTAMU wanasaikolojia WATAJIBU,...
.... kwa kuwa kisaikolojia au hata kihamu onjo la pili na la tisa hata la PEPSI huwa linatofautiana UTAMU.


Na kama mara ya kwanza ni chungu ILIKUSIBU,....
...kumbuka YA KWANZA CHUNGU inaweza ikawa SI CHUNGU ukirudia na KUPATIA jinsi ya kuonja UTAMU.



Swali:
  • AU?
  • Si unajua inadaiwa walioonja na kudondosha BIKIRA na walionja BIA na kudai chungu inasemekana baadaye chungu iligeuka TAMU?
Ni hilo tu na NI WAZO tu usitishike KATIBU WA MASWALA!

Ngojea Rose ROYCE walalamike katika -Love don't live here anymore

Msichana mzuri a.k.a KIGOLI na Mvulana mwanana a.k.a KIJEBA katika MASHINDANO ya KUZEEKA!

Na ni kweli hata DOGODOGO saizi YAKO,...
.... mpe muda ATAZEEKA.

Lakini angalia SURA LAKO na sikilizia kiuno chako kihimilivyo shughuli ZAKO,...
....wakati umestukia DOGODOGO si SAIZI yako kwa kuwa huvutiwi na Wazee na DOGODOGO kwako KAZEEKA.

Kumbuka!
Wakati DOGODOGO mambo zake DUKINAA katika VIONJO vyako,...
...kuna MZEE awezaye MAMBO ADIMU yenye makali ya ASALI na ukileta ANAKATIKA.

Na kama ni KIGOLI kwa haraka AZEEKA kama nyanya kwenye kachumbari ,...
.... jiulize ni kwanini KIJEBA hufa kwanza kabla ya KIGOLI aleZEEKA.

Ni swala tu la MUDA hata WAKO,...
... aringaye kama tu ASIYERINGA wote WAZEEKA.

Ni swala la MUDA tu hata WAKO....
... umjuaye kwa UTOTO bila kujali UKE wala wake UUME, ataZEEKA.:-(


Ringa MWANAWANE onyesha maringo YAKO,...
... kwani punde si utani UTAZEEKA.

Kumbuka hakuna mbaya kwa KUZEEKA kama ULIVYO mtazamo WAKO,...
... ila hata kama UNACHAKURINGIA, waweza kukosa nguvu za kuringa UKIZEEKA.

Na mwenye HOFU YA KUZEEKA na kama huo ni uoga WAKO,...
... kumbuka inamaana unashughuli chache na umezidiwa na muda wakati huu UKIZEEKA.


Swali:
  • Unakumbuka SASA HIVI unaendelea KUZEEKA?
  • Ushawahi kusikia ni wanawake wazeekao haraka?
  • Na hivi unajua TAKWIMU zadai ni WANAUME wafao MAPEMA kwa uzee?


Ni wazo tu WAZIRI wa mambo ya GHAFLA na STAREHE NDOGONDOGO , na wala USITISHIKE!


Ngojea JERREMIAH abadili hali ya hewa kwa kibao- Birthday SEX

Wednesday, July 08, 2009

MSTARI mwembamba kati ya KUJIHESHIMU na UNAFIKI!

Ni kawaida kwa UNAFIKI kufanana na HESHIMA,...
.....kwa kuwa WANAFIKI wengi KWA UNAFIKI mpaka hudhaniwa WANAHESHIMA.

MNAFIKI hukuficha UKWELI,....
.... usijue iliumpende, umpe peremende au tu kwake uwe na HESHIMA.

AKUHESHIMUYE hukuficha KI -MILA na DESTURI yatiayo aibu ya UKWELI,...
.....au hata KUKUNYIMA kidude hata kama ANATAKA kwa kuwa eti ANAHESHIMA.


HESHIMA ni UNAFIKI kama ni ya KINAFIKI,...
.. na kuna UWAHESHIMUO kwa kuwa TU unauchanganya UNAFIKI na HESHIMA.


Swali:
  • AU?
  • Ushawahi kumpa SHIKAMOO MWALIMU ili kumuonyesha HESHIMA huku unamtukana kimoyo?
  • Kwani unaathirika kwa KUHESHIMIWA KINAFIKI kama AATHIRIKAVYO akuheshimuye KINAFIKI?
NIMEACHA wazo MKUU wa KITENGO!

Ngoje tu tena FELA KUTI amuongelee- Gentleman





Au tu namuacha Steve Wonder aongelee-Master Blaster

MPAKA wa MTU!

Ukizidisha ,....
.... utaumiza MTU.

Ukipunguza,....
....waweza DHARAULIWA na MTU.


Ukizidishiwa,....
.... utaumia kama wewe ni MTU.

Kama unaweza na KINAFANYIKA,...
.... labda BADO hujavuka mpaka wako WEWE kama MTU.

Na kama kuna MPAKA,...
... kumbuka labda HUO umejengwa na MTU.

Kuhusu wewe ni MTU GANI,...
....inategemea na USTUKIAVYO mipaka ya WATU.

Kuhusu WEWE ni NANI,...
... chunguza mipaka YAKO wewe kama MTU.

Na kama kuna UTU,...
......kiutu kuna MIPAKA ya MTU.

KWAHIYO!
CHEZA, cheza kwa STEPU, usimkanyage MWENZIO!

CHEZA, cheza kwa STEPU,..
.. usijeparamia MTU.:-(

Swali:

  • AU?
  • Unakumbuka adui ya mtu pamoja na shetani kusingiziwa bado KWA KAWAIDA ni MTU?

NAACHA WAZO na kumbuka hili ni wazo tu MKUU WA KITENGO!


Ngojea Fela Kuti adai...-Water no get ENEMY


Au tu Stevie Wonder amuongelee- Mista know it all

Tuesday, July 07, 2009

HAMU ya vitu ADIMU!

Ni ulafi KULA SANA ,....
...... kwakuwa TU chakula ni KINGI.:-(

Na mapenzi yako ya NONIHINO,...
.... kwa kuwa unadhani ni adimu ,mie SIYAPINGI.

Na ni kweli,....
..... WALI ni MKUSANYIKO tu wa PUNJE za MCHELE NYINGI.

Kwa hiyo labda penzi lako la WALI,...
..... labda NI mkusanyiko tu wa PENZI LAKO la punye za mchele zilizobanana kwa WINGI.

Na kunauwezekano UKIKUSANYA penzi lako la vitu ADIMU,...
... utakuja STUKIA ni kweli PENZI LAKO si ADIMU kwa kuwa ni kweli UNAPENDA MENGI.:-(


Na kwa kuwa wengi hukwepa MALAYA kwa kuhusudu ADIMU,...
..... ndio maana DUNIA hii ya wenye hamu ya ADIMU imejaa MENGI.

Swali:
  • Au?
  • Unauhakika na uadimu wa vitu udhaniavyo ni ADIMU?


NAACHA wazo na nakutakia JUMANNE sangara wamo!

Ngojea na NASIO FONTAINE aongelee JUMANNE fulani katika -Black Tuesday


Au tu Lil VICIOUS amzungumzie mtoto mzuri kwa jina- NIKA

AIBU kama JUKUMU la UKUBWA!

Kua ustukie MAJUKUMU!

Kua ubanwe na MAJUKUMU,....
.....ingawa MAJUKUMU yapo tokea UTOTONI,....

.... hata kama JUKUMU KUU la mtoto ni awe MTOTO utotoni.


Kua ulazimike KIMAJUKUMU!

Kua uhisi una JUKUMU,....
.... ingawa kama huwezi JUKUMU,...
.... usiloweza LABDA sio lako JUKUMU.


Kwakuwa UNADHANI jamii inahisi ni lako JUKUMU,....
.... waweza ona aibu kwa kushindwa JUKUMU.

Na kama unalionea aibu JUKUMU,...
..... kumbuka jamii si lazima inapatia wakumpa JUKUMU.

Na kama bado unalionea aibu JUKUMU,....
.....MWANIWANE labda hilo si lako KIMAJUKUMU!

Na tukiachana na uvivu wa watu katika kukabili JUKUMU,...
.... kama umejaribu , SI mwisho wa DUNIA likikushinda JUKUMU.

Swali:
  • Au?
  • Unauhakika unalijua JUKUMU mpaka unafikiri ni lako JUKUMU?
  • Unauhakika viongozi wetu Afrika wanalijua JUKUMU?


NI wazo tu KIJEBA usitishike!:-(


Ngojea MAD LION aonyeshe asivyostukia jukumu lake kwa kuimba kibao-Shoot to KILL...


DAKIKA na SEKUNDE ambazo KIBINADAMU hazikumbukwi!

Dakika azaliwayo MTU,....
......NA sekunde afayo Mtu kwa huyo mtu HAVIKUMBUKWI.

Akuapo mtu kwa udadisi kuna kitu ANAWEZA kukumbushwa,....
.......INGAWA kwa uzoefu wa KIBINADAMU kabla ya kwikwi hua KWIKWI haikumbukwi.


Ndio!

Binadamu uwakutao wanacheka ,....
...... hufanikisha KICHEKO kwakuwa ukali wa maumivu ya kilio HAUKUMBUKWI.

Ndio!

Binadamu msahaulifu HUFIKIRI ,....
......... ni sekunde za makubwa kama KUFA ndio hayajulikani wakati mambo elfu lelaulela hayakumbukwi walakujulikana kama tu KWIKWI?


Ndio!

Dakika azaliwayo MTU,....
......na sekunde afayo Mtu LABDA kwa huyo mtu HAVIKUMBUKWI.

Swali:
  • AU?
  • Unauhakika dakika afayo mtu huwa anajua ndio sekunde HIYO anakufa?
  • Unauhakika aliyefariki anajua kuwa kafa?


DUH!

Ngojea ni muachie marehemu Franco aje na kundi lake katika- MARIO...

Monday, July 06, 2009

jumatatu NJEMA!

Ni HILO tu!



Nipo lakini na nahisi kama unanisoma basi na wewe UPO.

Swali:
  • AU?


Photobucket



Photobucket





Photobucket






Photobucket









Photobucket



Photobucket




Photobucket

Saturday, July 04, 2009

KUMA a.k.a KIDUDE kitumikacho saa nyingine ZAIDI ya KUKOJOLEA!:-(








Katika PICHA HII, hiki ni kifanananisho KATIKA maswala ya KIELELEZO kama HUJUI kidude!
:-({Samahani kwa mambo ya faragha kama BINGWA umefanananisha!:-(]











Ngojea tufafanuliwe kwa UNG'ENG'E kiduchuu,...

......katika maswala HAYA ya kuwa KUMA ni VAGINA kwa kiluguru...au tupate maelezo tu KUWA hata WADUDU wana KIDUDE....

The vagina (from Latin, literally "sheath" or "scabbard") is a fibromuscular tubular tract leading from the uterus to the exterior of the body in female placental mammals and marsupials, or to the cloaca in female birds, monotremes, and some reptiles. Female insects and other invertebrates also have a vagina, which is the terminal part of the oviduct. The Latinate plural (rarely used in English) isvaginae.

In common speech, the term "vagina" is oft..en used to refer to the vulva or female genitals generally; strictly speaking, the vagina is a specific internal structure and the vulva is the exterior genitalia only.

Na..
....KWA aibu ngojea tufafanuliwe zaidi kuhusu HIKI KIFAA kifanyacho zaidi ya kukojoa hapa

NA ,...
...nisikufiche HIKI KIFAA matumizi yake yanapendwa sana na wanawake kama tu PIA wanaume INGAWA kwa wanaume MALIMBUKENI ni kawaida kukosea jinsi ya kutumia HIKI KIFAA katika kukuna MATUMIZI.:-(
Swali:
  • AU?
  • Unafikiri Ustadhi au Mlokole kama tu MHESHIMIWA anakumbuka kuwa KUMA ni JINA TU la ENEO kama tu KINYEO ambalo labda kuna walitumialo JINA kama tu la MDOMO kwa kumaanisha wanakula NYANYA mshumaa?
NAACHIA MAHUBIRI HAPA!
Na ni kweli naacha KUWAZA na UKIZIDISHA WAZO SHAURI ZAKO wazo likigeuka MATUSI!:-(


Unaweza kucheza Kuma games hapa lakini!:-(



AU Ngojea Mbilia BEl Adai...-Phenomene


Au aongelee tu- DUKU duku...

MBOO a.k.a KIKOJOLEO!:-(


Samahani hii ni PICHA YA KIELELEZO cha GOVI na LABDA hiki ni KIELELEZO chenye baadhi ya DONDOO za matumizi ya KIFAA ya zaidi yaKUKOJOA![Samahani kwa stori za MWANASESERE za faragha INGAWA unaweza kunitukania ukichukia lakini]:-(
















Ndio!

Kwa lugha ya kitakatifu KIKOJOLEO CHA KIUME huwa KWA wajanja kinaitwa Penis!
DUH!

Hebu tupate ushee kwa ung'eng'e kiduchu...

Mboo a.ka. The penis NI:.....

.....(plural penises, penes) is an external sexual organ of certain biologically male organisms, in both vertebrates and invertebrates.

The penis is a reproductive organ, tecAlign Lefthnically an intromittent organ, and for placental mammals, additionally serves as the external organ of urination. The penis is generally found on mammals and reptiles.
Swali:
  • Unadhani USTADHI au MLOKOLE kama tu MHESHIMIWA hawawezi kudhani kutaja KIKOJOLEO ni TUSI kwa kuwa kinaitwa MBOO na KUNA wadaio HIKI KIFAA ni sehemu za siri ingawa si siri KIFAA HIKI kisaidiavyo umati KUJAZA watoto wa MTAANI kabla au baada ya kusambaza tayari VIRUSI mtaani?
Na KUMBUKA nimeacha wazo BITOZI na ukizidisha wazo linaweza geuka TUSI SHAURI ZAKO !:-(
DUH endelea HAPA kama unataka kujua zaidi kuhusu KIRUNGU kama KIJULIKANAVYO kwa lugha ya kitaalamu wa nanihii:-(...
Swali:
  • Hivi unajua UTAFITI UNASEMA ni wanaume AMBAO hawajui vizuri kukitumia HIKI KIFAA katika kujipatia AU kumpatia nonihino FARAJA ?
Lakini siye wastaarabu ngojea tuTabu LEY atuongeleshe KUHUSU
-CHERIE SAMBA


Au tu ngojea Tabu Ley aongelee-- Sacramento

Tuesday, June 30, 2009

Kwa mara nyingine na ni SIKU NYINGINE!

MATATIZO ni yale yale,...
.....ingawa SIKU ni NYINGINE.

KWA KUWA ni siku nyingine,...
....matatizo yaleyale hudhaniwa ni mapya ,...

.....kwa kuwa ni SIKU NYINGINE.


Kwa kuwa WEWE si WATU WENGINE,....
.... baadhi ya MATATIZO YALEYALE kwa wengine,...
.... WEWE waweza kudhani ni MAPYA kwa kuwa umeyagundua SIKU NYINGINE.


Na kama unajifunza KUTOKA KWA WENGINE,...
....matatizo YALEYALE ukiyafumbia macho HUJIFUNGUA MTOTO,...
... na siku moja unaweza ukaamka na tatizo JIPYA kweli kwakuwa ni SIKU NYINGINE.


Lakini MATATIZO ndio SIRI ya UFUMBUZI wa TATIZO,...
... na kushughulikia MATATIZO ndio SUKARI YA MAISHA kama ufumbuzi wa TATIZO,...
.... na hata kama ni kweli UTAFUMBUA FUMBO la kiini cha TATIZO siku nyingine.

Na leo ni SIKU NYINGINE,....
... na kama unadhani huna TATIZO basi wewe maisha yako yaliishia jana,...
... na hukufika leo SIKU NYINGINE.



Swali:
  • AU?
NI wazo tu KINGUNGE na NIMEACHA kukuzingua!:-(

Ngojea Scarface na 2PAC wakukumbushe-Smile


AU tu THE POLICE warudishe gurudumu nyuma zaidi katika ...- De Do Do Do De Da Da Da


Katika kuongelea BILA AIBU angalau UWEZEKANO wa kuwa MIMBA ya KUKU ni YAI!

Tukiachana na swala la KUKU MJAMZITO....
....... baada ya KUKU kufanya TENDO LA NDOA kama BATA,.....

.....tuongelee binadamu kiduchu basi!

Kwa BINADAMU kuna TAMADUNI, MILA na DESTURI zifanyazo tuamini KUWA NI ukweli kuwa swala la UJAUZITO ni la wakubwa,....
..... ndio maana binadamu akiwa mtoto hudanganyika kuwa watoto wananunuliwa duka fulani au kuna ndege anawaleta hata kama anayemsimulia BINADAMU MTOTO HUYO , ana MIMBA.:-(

Na ,...
.....kwa kuwa jamii inadai kuwa MASWALA YA UJAUZITO ni maswala ya faragha kuna ambao wamepata mimba kwa kutojua MASWALA YA mpigwa chini huvimba JUU.

NDIO!
Tamaduni zetu wengi zinatufanya tuepuke kuzungumzia mambo fulani:-(

Na ujuzi wa asilimia kubwa ya vijana siku hizi ,....
......ni wakujifunza wenyewe KUPEKECHA ingawa kuna washangaao kwanini RIJALI kila siku akiingia mtandaoni akilini akiona KIBONYEZO ''search ''hakawii kuandika mbele yake neno ''SEX''.

Ndio!
Asilimia kubwa ya WABONGO niwajuao wamejifunza maswala ya KITENDO CHA KUUJAZA ULIMWENGU wenyewe kwa kuwa ndugu na hausigeli hawakuviongelea kwa kuwa MILA na DESTURI ZIMEWAFUNGA mdomo hata WAZAZI.:-(


Na tatizo kubwa katika hili ni kwamba,....
..... kama huna MUONGOZO itabidi ujishughulishe mwenyewe KUPATIA na kwa bahati mbaya kwa kujifunza bila MUONGOZO waweza kujikuta USHAZOEA KUKOSEA matumizi ya NYETI.


Kumbuka,...
... apataye MIMBA wakati anapata MIMBA kunauwezekano MKUBWA alikuwa anafikiri anapata URODA tu a.k.a MIKASI na sio alikuwa ANAMIMBISHWA.:-(

Kumbuka,...
..... mara nyingi BEBERU LIKIPANDA huwa halifikirii matokeo yake ni kumpa mimba KIMWANA mbuzi.


Na kumbuka ,....
.... mwenye mimba anapendeza kwa kuwa unajua ana mimba LASIVYO ni kweli mwenye mimba huwa ana tumbo KUBWA a.k.a BOMBA LA TUMBO na HUWA anabadilika MWENDO.

Kwa hiyo,...
..... jihadhari kumuuliza MWENYE TUMBO KUBWA asiye na MIMBA maswala ya UJAUZITO kama hutaki kufyonzwa KABLA hujashushiwa bomba la TUSI lenye uzito wa KILO KADHAA lifuatwalo na bomba la KOFI .Na kama wewe mfupi JIHADHARI kwa kuwa labda pia utapewa bomba la konzi lenye KILO TATU na NUSU hivi kwa kukosea wa KUMDADISI.

Na ni kweli,....
..... ukikutana na mwanaume akukumbushaye MWANAMKE mjamzito, basi inasemekana huyo ANAKITAMBI kitu ambacho SI AFYA kama tu toto dogo lenye tumbo kama mimba linaweza kuwa lina KWASHAKOO , UTAPIAMLO ,nk.....
........ kitu ambacho SI AFYA!:-(



Na ni kweli,...
..... MIMBA ni KIBOKO ndio maana UMEZALIWA.:-(

Swali:
  • AU?

DUH!
NALIKATIZA wazo hili kabla ya KUONGELEA kuhusu MIMBA ya kuku bila KUOMBA ruhusa ya KUKU!
Swali:
  • Hivi kweli umesoma mpaka sentensi hii hapa katika SWALA HILI lenye uwezo wa kuwa ni la KIJINGA ?
  • Unafikiri lini katika ukuaji wako ulistukia MIMBA sio KITAMBI na KITAMBI sio MIMBA?
  • Unafikiri kungekuwa na uwezekano binadamu wasingehusudu KUTAGA kama kunguru ili kukwepa kuvaa MATENITE DRESI ingawa kasheshe lingekuwa ni zamu za hausigeli kuyatamia mayayi wakati bingwa YUKO kwenye KICHENI PATI?

Kumbuka ni wazo tu NA NIMELIKATIZA nikiwa nakutakia KILA la KHERI katika LAKO LIBENEKE!


Ngojea Kenny Roggers abadili hali ya hewa kwa kitu- You are so Beautiful



Au tu BONGO MAFFIN watukumbushe- MAKEBA

Monday, June 29, 2009

JINSI ya kumuibia MJANJA!

CHAMSINGI,...
...mfanye AAMINI unaamini kuwa yeye MJANJA!

Swali:

  • AU?
Kumbuka kutofautisha kuiba na KUPORA,....
...... na uwezekano wa kubwengwa ukidakwa kwa kukosea staili ya kumuibia MJANJA.


Nalikatizia hili WAZO hapa kwanza labda halikufundishi kitu kama wewe sio MWIZI!:-(

JUMATATU njema KIJEBA na ikiwezekana USIIBE nasikia ni DHAMBI!


Au turudi KENYA Safari SOUND BAND wakumbushe- MAMA LEA MTOTO WANGU..


Au tu GREGORY ISAACS abadili kwa -Love is OVERDUE..

Sunday, June 28, 2009

KATIKA kukumbuka TOTO zuri LIKUTISHALO ni kweli NALO bado linaenda HAJA KUBWA a.k.a KWA lugha ya kisasa -KUNYA!!:-(

Labda ni KWELI,...
...hakuna BINADAMU mjanja INGAWA kuna IDAIWAO ni WAJANJA.

Na kama kuna UJANJA,...
...basi MJANJA hajazaliwa:-(

Na kama unadhani WEWE ni mjanja,..
... jaribu kuhairisha KUNYA ukibanwa TUONE.[samahani kwa matumizi ya lugha ya faragha!:-(]


Swali :

  • Unafikiri akutishaye anakutisha nini ikiwa kila BINADAMU unajua ni SPESHO?

NAACHA wazo na samahani kwa WAZO hili hapa MAWAZONI Bingwa, NA KATIKA HILO kumbuka hili ni wazo tu KIJEBA!:-(
Kwa mara nyingine JUMAPILI njema BINGWA!

Ngojea Jermaine JACKSON adai...-Do What You Do


Au tu Jermaine Jackson adai tena-Sweetest sweetest

STORI za JUMAPILI kama tu za JUMANANE za Kalumekenge!

KalumeKENGE aliamka,...
..... na kuachia bomba la M-hayo kabla ya kujinyosha na kujamba kidogo.

Ndio ,...
....ALIAMKA halafu baadaye siku ilipoisha AKALALA kama wewe TU!:-(


Ndio,..
.... labda kuna MUDA ndani ya SIKU kwa kuwa yuko hai alifanya jambo AFIKIRIALO ni KUBWA akilini mwake kabla hajaenda MSALANI kama wewe TU!:-(


DUH!

Swali:

  • AU?
  • Hivi kwani JUMAPILI inarangi tofauti na JUMANNE ,na ukisikia njaa, njaa ya JUMAPILI ni tofauti na ya ALHAMISI?

DUH!

Ngojea NIACHE wazo hili na labda ni la kijinga!:-(

JUMAPILI njema KIJEBA!


AU ngojea MR BEAN aboreke KANISANI kiduchu katika....-Church bore



Au tu tumchungulie MSENGE akishughulikiwa KANISANI na wajanja...-Church Rids Gay Demon....